ARSENAL, ikicheza Ugenini huko KP Stadium na Timu iliyopanda Daraja Msimu huu Leicester City, imetoka Sare ya Bao 1-1.
Arsenal ndio walitangulia kufunga kwa Bao la Mchezaji wao mpya Alexis
Sancheza katika Dakika ya 20 laki Dakika 2 baadae Leicester
walisawazisha kwa Bao la Mchezaji wao mpya Leonardo Ulloa.
Hii ni Mechi ya pili mfululizo kwa Arsenal kutoka Sare kwenye Ligi baada ya Wiki iliyopita kutoka 2-2 na Everton huko Goodison Park.
VIKOSI:
Leicester: Schmeichel, De Laet, Morgan, Moore, Konchesky, Mahrez, Hammond, King, Schlupp, Ulloa, Nugent
Akiba: Cambiasso, Drinkwater, Vardy, Albrighton, Hamer, Wasilewski, Wood.
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Sanchez, Ozil, Cazorla, Sanogo
Akiba: Rosicky, Podolski, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Martinez, Campbell.
Refa: Anthony Taylor
Hii ni Mechi ya pili mfululizo kwa Arsenal kutoka Sare kwenye Ligi baada ya Wiki iliyopita kutoka 2-2 na Everton huko Goodison Park.
VIKOSI:
Leicester: Schmeichel, De Laet, Morgan, Moore, Konchesky, Mahrez, Hammond, King, Schlupp, Ulloa, Nugent
Akiba: Cambiasso, Drinkwater, Vardy, Albrighton, Hamer, Wasilewski, Wood.
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Sanchez, Ozil, Cazorla, Sanogo
Akiba: Rosicky, Podolski, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Martinez, Campbell.
Refa: Anthony Taylor