
Dakika ya 70 Shuti la Ciro Immobile lilizuiwa kwa mkono na Shinji Okazaki na Dortmund kupewa Penati iliyopigwa na Immobile lakini Kipa wa Mainz, Loris Karius, akaokoa.
Dakika ya 74, Dortmund wakajifunga wenyewe baada Matthias Ginter kushindwa kuokoa na kutumbukiza Mpira wavuni na kuwafanya Mainz waongoze 2-0.
BUNDESLIGA
MATOKEO:
Jumamosi Septemba 20
Hamburger SV 0 Bayern Munich 0
Schalke 2 Eintracht Frankfurt 2
VfB Stuttgart 0 TSG Hoffenheim 2
FC Augsburg 4 SV Werder Bremen 2
SC Paderborn 2 Hannover 0
FSV Mainz 2 BV Borussia Dortmund 0