SUAREZ NA MESSI KUTAFUTA KOMBINESHENI KIKOSI B

1411481836887_Image_galleryImage_epa04413220_FC_Barcelona_
Lionel Messi na Luis Suarez walikuwa na tabasamu kubwa wakijiandaa dhidi ya Malaga na Indonesia
LUIS Suarez ataichezea Barcelona B kesho mchana katika mechi ya kikosi cha vijana chini ya miaka 19 dhidi ya Indonesia. 
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uruguay hataweza kuichezea Barcelona katika mchezo wa La Liga dhidi ya Malaga kesho jumatano, lakini anaruhusiwa kuichezea katika mechi za kirafiki.
Nyota huyo wa zamani wa Liverpool ataikosa tena nafasi ya kuichezea timu yake mechi ya mashindano kwasababu anatumikia kifungo hadi oktoba 24. 
Neymar will be hoping to add to his goal tally after netting against Levante at the weekend
Luis Enrique, second in from the left, discusses tactics with his Barcelona coaching staff
Enrique alisema: ‘Luis Suarez  atacheza mechi ya kirafiki ya timu B. Anahitaji kucheza, anataka kupata kasi ya mechi”.
kijuzi blogspot.com