BELLE 9ATOA WMBO MPYA AMSHIRIKISHA JOH MAKINI

Belle 9 ameachia wimbo wake mpya uliobeba jina la album anayoifanyia kazi kwa muda sasa "Vitamin Music" akiwa amemshirikisha Mwamba wa Kaskazini, Mweusi "Joe Makini" 

 Si muda mrefu sana tangu msanii huyo anaewakilisha Morogoro aachie ngoma mpya "Wanitamani" na kuachia wimbo huu Belle 9 amesema ameamua kuachia wimbo huu kwasababu uko tofauti sana na zingine maana mashabiki wamekuwa wakimwambia kwanini hatoi ngoma kama sumu ya penzi na zingine zilizopita mwanzoni