Wasanii NASIBU ABDUL maarufu kama DIAMOND kwa kushiriana na bendi ya YAMOTO wanapanda jukwaani kutumbuiza katika SIKU YA MSANII TANZANIA ambayo itafanyika OCTOBA 25 jijini DSM. 

DIAMONDS amesema siku hiyo watatoa burundani ya kukata na shoka nakutawala jukwaa na kuwasihi watu wengi kujitokeza ili waweze kupata burudani