DIAMOND PLATINUZ AACHIA NGOMA NA VIDEO MPYAAAAAA

.
.
Alhamisi ya Nov 20 Diamond Platnumz  ameibariki siku hii kwa kuachia video na audio ya wimbo wake mpya unaoitwa Nitampata wapi,kwenye radio station,tv na kwenye mitandao.

Video hii  kwa mara ya kwanza ilianza kuonyeshwa Nov 19 kupitia kituo cha MTV BASE
Akizungumza na mtangazaji wa Clouds FM Diamond amezungumzia wimbo yake mpya 

"Nitampata Wapi" na kudai kwamba utakuwa ni wimbo mkali ulio  katika hadhi ya mapenzi na sio zile nyimbo za kukimbiza kimbiza, yaani akidai kwamba itakuwa inafanana kama ile ya nenda
kamwambie, ukimwona au lala salama
 Video ya wimbo huu imefanyikia S.A chini ya director..
God Father pia amezizungumzia zile barua ambazo wazazi wameandika kwaajili ya watoto wao na anaanza kuzifanyia kazi hivi karibuni na alipoulizwa kuhusiana na Wema Sepetu alikuwa anaruka ruka tu na kushindwa kutoa jibu lililo sahihi







Na Eli ulomi/Djfetty.com