
MACHINGA COMPLEX
Kwa mujibu wa Christina Lyabonga kutoka Jeshi la zimamoto Ilala waliarifiwa kutokea kwa moto huo majira ya saa saba nchana na kuwasili katika eneo hilo muda mfupi nakukuta wananchi wameshaanza kuzima moto huo kwakutumia vifaa maalum vya kuzimia moto (FIRE EXTINGUISHER)
Mmoja wa wafanyabiashara aliyeathirika na moto huo IDD JUMA amesema moto huo umeenea katika ofisi yake baada ya kuwaka katika eneo la kizimba cha jirani yake na kuteketeza stakabadhi za bima
Mpaka sasa bado hasara iliyosababishwa na moto huo haijajulikana