Waziri wa Ujenzi JOHN MAGUFULI
MAGUFULI amezindua kivuko hicho kilichoigharibu serikali shilingi bilioni 7.9 amesema ni kuvuko chenye kasi kuliko vyote nchini.
Kivuko hicho kitaanza kutumika hivi karibuni baada ya kukamilika kwa ukaguzi wa mwisho na kinaelezwa kuwa kitasaidia kupunguza tatizo la usafiri katika jiji la DSM
