MATUKIO YA AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS ILIYOTOKEA IGUNGA.
Basi hilo limepinduka leo majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na
majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora.
Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo ilipotokea.