MBUNIFU WA MAVAZI MANJU MSITA KUWAKILISHA FASION WIKI

Mbunifu MANJU MSITA kuwakilisha Fashion week
 
MBUNIFU wa mavazi hapa nchini MANJU MSITA ataungana na wabunifu wengine barani Afrika kuonyesha vipaji vya ubunifu katika shindano la fasheni la wiki itakayofanyika nchini MSUMBIJI kuanzia Desemba 10 hadi 14 mwaka huu.

Mratibu wa mbunifu huyo, MATUKIO CHUMA pamoja na mbunifu wa TANZANIA anayefanya shughuli zake nchini BARCELONA, VIVIAN WILLIAMS wametaka fani ya ubunifu itumike kama ajira na isibezwe na wazazi na badala yake waiunge mkono.

Katika maonyesho hayo MANJU pamoja na mtanzania mwingine anayefanyia shughuli zake nchini AFRIKA KUSINI, ANISA MPUNGWE wataipeperusha bendera ya TANZANIA katika maonyesho