![]() |
Marubani waanza mgomo nchini UJERUMANI |
Wafanyakazi hao wamekuwa na mfululizo wa migomo wakipinga sheria mpya ya mafao kwa wastaafu wanayodai kwamba inadidimiza maisha ya wastaafu nchini humo.
Viongozi wa shirika hilo wameielezea hatua ya wafanyakazi hao kwa mgomo huo kuwa ni kubwa sana na kutoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo.