
Bunge la Tanzania linaanza vikao vyake
wiki ijayo, moja ya ishu ambayo wanasiasa na wanaharakati mbalimbali
wamekuwa wakishinikiza kufanyiwa maamuzi ni ishu ya Escrow, mwezi
DECEMBER, 2014 Rais Kikwete alitangaza kumsimamisha kazi Waziri Anna Tibaijuka kutokana na ishu ya fedha za Escrow ambazo kulikuwa na utata kwamba ni za umma ama za IPTL.