PICHA ZA RAIS MUGABE AKIANGUKA ZAVURUGA MITANDAO YA KIJAMII NA KUWA MICHEZO NA DANSI STAILI

Raisi wa Zimbabwe Robert Mugabe, 90, alianguka mpaka chini mara tu baada ya kumaliza speech aliyokuwa akiitoa kwa wafuasi wake waliokuja kumpokea airport  baada ya safari yake kutoka Ethipia, ijumaa iliyopita. m (1)

Baada ya picha hizo kusambaa, maraia wakaanza kazi yao ya kutengeneza memes zilizozagaa katika mitandao ya kijamii. hizi ni baadhi tu ya picha hizo
4 (1)
3 (1)
5 (1)
7 (1)
2 (1)