TAZAMA MATOKEO YA YANGA NA COASTAL UNION HAPA

SAMSUNG
Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea leo, Timu ya Yanga SC ilikuwa kwenye dimba la Mkwakwani Tanga ambapo wanajangwani hao walikuwa wakichuana na wenyeji wa Tanga, Coastal Union mechi ambayo imeisha muda mfupi uliopita.

Katika mechi hiyo dakika 90 zilikamilika pamoja na zile  tatu za nyongeza kwa Yanga kushinda goli 1-0 dhidi ya Coastal Union.
IMG-20150204-WA0036
IMG-20150204-WA0038
IMG-20150204-WA0043
IMG-20150204-WA0044
IMG-20150204-WA0045
SAMSUNG
SAMSUNG
SAMSUNG