



Luis Suárez dakika ya 5 tu anaipachikia bao kwa kufanya 1-0,
Gerard Piqué kipindi cha pili aliwapachikia bao la pili na kufanya 2-0 katika dakika ya 49.
Pia Hetitriki ya Messi hii Leo imemfanya ampiku Ronaldo kwa wingi wa Hetitriki yeye sasa akiwa na 24 katika La Liga na Ronaldo ana 23.
Msimu huu wa 2014/15, Ronaldo alianza kwa moto na Mwezi Novemba alikuwa na Bao 20 za La Liga wakati Messi ana 7 tu.
Lakini tangu Mwaka 2015 uanze, Ronaldo amefunga Bao 7 tu wakati Messi amepachika Jumla ya Mabao 18 katika Mashindano yote.

Luis Suárez aliongeza bao la nne dakika ya 63.

VIKOSI:
Barcelona XI: Bravo, Pique, Xavi, Pedro, Iniesta, Suarez, Messi, Mascherano, Alba, Alves, Mathieu
Akiba: Ter Stegen, Rakitic, Rafinha, Bartra, Sergi Roberto, Adriano, Munir.
Rayo XI: Álvarez, Triguero, Amaya, Ba, Insua, Trashorras, Sanchez, Ruiz, Lica, Bueno, Kakuta, Baptistao
Akiba: Cobeño, Martínez García, Contreiras Gonçalves, Aquino, Marín Ruiz, Pozuelo, Moreno Lopera