ESCROW; ZITTO KABWE ATAKA CHENGE KUZUIWA KUSHIRIKI KATIKA UONGOZI WA UMMA BAADA YA KUKATAA KUHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI

Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, kukataa kuhojiwa mbele ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa umma juu ya tuhuma za kunufaika na fedha zilizotoka katika akaunti ya Tegeta Escrow.

Mheshimiwa Zitto Kabwe kupitia akaunti yake ya Twitter amendika haya;

"Moja ya adhabu Chenge anaweza kupewa ni kuzuiwa kabisa kushiriki katika uongozi wa umma. Jambo lolilopaswa kufanyika miaka mingi nyuma"