Dakika
90 zimemaliza Arsenal wakiwa na Ushindi wa bao 2-1, bao la Ushindi
likifungwa na Danny Welbeck mchezaji wa zamani wa Timu ya Manchester
United katika dakika ya 61 baada ya Valencia kufanya makosa ya kurudisha
mpira nyuma.
Danny Welbeck baada ya kutupia nyavuni bao la pili.
Kipindi cha pili Danny Webeck mchezaji wa zamani wa Man United aliipa bao la pili Arsenal katika dakika ya 61 na kufanya 2-1.
Rooney akisawazisha bao kipindi cha kwanza
Rooney baada ya kuisawazishia United bao kwa kufanya 1-1 dhidi ya Arsenal katika kipindi cha kwanza. Mpaka mapumziko kipindi cha kwanza Manchester United 1-1 Arsenal.
1-1
Nacho
Monreal dakika ya 25 kipindi cha kwanza kaifungia bao Arsenal nao Man
United walifufuka na dakika ya 29 Wayne Rooney aliisawazishia bao
Manchester United kwa kichwa na kufanya 1-1.
Mzee Ferguson akishuhudia kipute Old Trafford
Mhh!!
VIKOSI:
Man United 11: De Gea, Valencia, Smalling, Rojo, Shaw, Blind, Herrera, Di Maria, Fellaini, Young, Rooney
Akiba: Valdes, Rafael, Jones, Carrick, Januzaj, Mata, Falcao
Arsenal 11: Szczesny, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin, Cazorla, Oxlade-Chamberlain, Ozil, Sanchez, Welbeck
Akiba: Martinez, Gibbs, Chambers, Ramsey, Giroud, Walcott, Akpom
Man United vs Arsenal
D

DROO YA ROBO FAINALI HII HAPA
-BRADFORD/ READING vs ARSENAL
-ASTON VILLA vs BLACKBURN/LIVERPOOL