
Aliyekua Mbunge wa Mbinga Maharibi Kapten John Komba leo amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ambao walikusanyika kwa ajili ya kumsindikiza kwenye safari yake ya mwisho.

Ibada ya sala imeongozwa na Askofu wa Jimbo kuu la Mbinga Askofu John Ndimbo na kuhudhiriwa na Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Jakaya Kikwete,Spika wa bunge la Tanzania Anna Makinda,wabunge mbalimbali,viongozi wa dini pamoja na wananchi.


Spika wa Bunge la Tanzania Bi. Anna Makinda

Kutoka kambi pinzani,Mbunge wa Lindi Salum Baruani.

Katibu wa CCM Abdulrahman Kinana


Mke wa marehemu John Komba bi.Salome Komba.















CREDIT; MILLARDAYO