MAN CITY YAENDELEZA UTEJA KWA LIVERPOOL

LIVERPOOLvCITY
Bao 2 safi za Jordan Henderson na Phillippe Coutinho zimeendeleza uteja wa Manchester City Uwanja wa Anfield walipochapwa Bao 2-1 na Liverpool ambayo imepanda hadi Nafasi ya 5 na kuiacha City ikipata pigo kubwa kutetea Ubingwa wao.

City sasa wako Pointi 5 nyuma ya Vinara Chelsea ambao wana Mechi 1 mkononi.