ACT WAFANYA MKUTANO WA KWANZA SONGEA WA KUKITAMBULISHA CHAMA, WAPOKELEWA VIZURI



Picha Kiongozi wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Z.Kabwe akihutubia umati mkubwa wa wana Songea waliohudhuria kumsikiliza,ikiwa ni ziara yake ya kwanza toka ang'atuke katika chama cha CHADEMA.


Picha Hapa ni Mapokezi ya Viongozi wa Kitaifa wa chama cha ACT Wazalendo  Songea
Afande Sele akisalimia wanamkutano
Viongozi wa Kitaifa wa ACT Wazalendo

 Wanasongea wakiwa kwenye mkutano wa chama cha ACT Wazalendo hii leo
Wanahabari wakiwahoji viongozi
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Tanzania Bara akisalimia na kuongea na wanamkutano
Wana Songea wakisikiliza hotuba
Mpekuzi blo