TAZAMA GARI MPYA YA MBWANA SAMATTA

samataaa 444
Samatta ni mtanzania anayechezea klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo [DRC] na ni miongoni mwa wacheza soka wa Kitanzania wanaolipwa zaidi wanaocheza nje ya nchi.
Samatta ameshare na mashabiki wake wa soka ride mpya anayoendesha akiwa mitaa ya Congo. Gari hii ni Range Rover nyekundu lenye namba za usajili za Tanzania.
IMG_4680 samataaa 1 samataaa 2 samataaa